WATANO WAOKOLEWA BAADA YA MAPOROMOKO UFILIPINO
Watu watano wameokolewa, huku wengine saba wakiendelea kutafutwa baada ya maporomoko makubwa ya udongo kuzikumba…
Isaya 60:11Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;Hayatafungwa mchana wala usiku;Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. Ili chochote kiweze kutoka kwenye ulimwengu wa roho kuja kwenye ulimwengu wa mwili lazima kuna lango kipite, adui anachofanya ni kuweka vizuizi kwenye lango ili visiweze kukufikia. Kuna vitu vingi ambavyo umemuomba Mungu na…
SIKU 5 ZA KUFUNGA NA KUOMBA Isaya 55:11 Tunamshukuru sana Mungu kwa ajili ya neema hii aliyotupa kwa mara nyingine tena ya kuwa na mfungo huu, ni wakati wa kumshukuru Mungu kwa ajili ya mwezi huu na kujikabidhi kwake kwa ajili ya mwezi ujao. Tutakuwa na prayer points zifuatazo; Jioni kuanzia saa kumi na moja…
Mwanamke… Ile siku uliyokuwa ukiisubiria kwa hamu imefika,!Leo ndio ile siku ambayo tutakuwa na ibada yetu nzuri sana.Umechoka kukaa eneo moja bila kupiga hatua?..basi hii ibada ni maalum kabisa kwa ajili yako. Itaanza saa tisa kamili mchana, hapahapa Reality of Christ, Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Mtumishi wa Mungu Minister Sia Kyando ana…
Watu watano wameokolewa, huku wengine saba wakiendelea kutafutwa baada ya maporomoko makubwa ya udongo kuzikumba nyumba kadhaa katika mji wa Baguio, kaskazini mwa Ufilipino. Maporomoko hayo yalitokea Jumapili katika eneo la milimani la Baguio, baada ya mvua kubwa kuendelea kunyesha, hali iliyosababisha udongo kulegea na kuteremka kwa nguvu, na hatimaye kuzikumba nyumba zilizokuwa katika eneo…
Kati ya ulipo sasa na mahali unapopaswa kuwa, kuna jambo ambalo Mungu anataka kukufundisha ili uweze kusogea mbele. Huo ndio ujumbe unaobebwa katika semina maalumu ya siku tatu inayokwenda kwa jina la “FROM ZERO TO HERO”, inayotarajiwa kufanyika kuanzia Jumatano, Agosti 12 hadi Ijumaa, Agosti 14, 2026, katika kanisa la Reality of Christ Church, Sinza…
DAR ES SALAAM , Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo Agosti 5, 2026, imetangaza kupungua kwa bei za nishati ya mafuta nchini kwa bidhaa zinazopitia Bandari ya Dar es Salaam, kutokana na mabadiliko chanya ya bei katika soko la dunia ambapo hatua hiyo imeshuhudia bei za mafuta zikishuka hadi Sh3,898…
Klabu ya Young Africans SC leo imezindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi 2026 katika eneo la Katoro, mkoani Geita, ikiwa ni mwanzo wa maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2026/27. Uzinduzi huo umeambatana na safari ya timu kuelekea Ushirombo kwa kambi fupi ya mazoezi kabla ya kurejea Dar es Salaam kwa kilele…
Raisi wa Young Africans SC (Yanga) Eng. Hersi Said ametoa tathmini ya wazi ya kampeni ya klabu ya 2025/26, akikiri kwamba licha ya kushinda mataji, utendaji wa jumla wa timu haukukidhi matarajio ya uongozi, wachezaji au mashabiki. Akizungumza huku Yanga ikiendelea na maandalizi ya msimu wa 2026/27, Hersi alifichua kwamba mapungufu ya msimu uliopita yameisukuma…